Ijumaa, 11 Julai 2014

Huyu sio Lupita Nyong'o ni Herieth Paul! Sasa anafata nyayo za Flaviana Matata & Anisa Mpungwe

Fashion siku hizi imekua dili sana, kama unapenda fashion na ukawa na vigezo vya kutosha mafanikio yakianza kuja hata maisha yako huenda yakabadilika kwa kiwango kikubwa. Mtazame huyu binti wa kitanzania vizuri! 


Ukimtazama utadhania umemuona Lupita Nyong'o lakini sio, alivyo mwembamba, kipimo cha urefu wake na ambavyo rangi ya ngozi yake inavutia ni haki tukisema anawanyemelea akina Flaviana Matata na models wengine waliofanikiwa kimataifa akiwemo Anisa Mpungwe.

Huyu ni Mtanzania na anafanya kazi kama model kutangaza mavazi ya makampuni ikiwemo bidhaa mbalimbali za mashirika binafsi. Angalia mitupio yake alafu acha comment zako kama vipi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni