Jumanne, 29 Julai 2014

MZEE WA MIAKA 66 ANAYEDAI KUWA YEYE NI YESU KRISTO



Mzee wa miaka 66, m'brazil kwa miaka 35 amekuwa akihubiri Injili - Kwasababu anaamini yeye ni uzao mpya katika pumzi na nafsi ya Kristo.
Anajiita 'INRI'. Inri ni neno la kiyahudi maana yake Yesu wa nazareti mfalme wa wayahudi. Hadi sasa hivi ana mamia ya wafuasi UK, Ufaransa na Britain na baadhi yao wanaishi nae kanisani kwake, nje kidogo ya Brasilia.

Tangu mwaka 1979 amesafiri zaidi ya nchi 27 akihubiri injili ya neno la Mungu, ingawa baadhi ya nchi kama Britain, US, na Venezuela walimfukuza kwasababu ya mafundisho yake yenye utata.

Mwanafunzi wake mdogo kabisa ambae sasa hivi ana miaka 24, alikutana nae akiwa na umri wa miaka 2. Mahubiri yake, uvaaji wake kwa mfano wa Kristo,  maoni yake juu ya ubepari na hata Krismasi kumfanya atiwe kizuizini na polisi zaidi ya mara 40.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni