Alhamisi, 3 Julai 2014

Magaidi watishia kufanya shambulio uwanja wa ndege Entebe Uganda

Ubalozi wa Marekani Uganda umetoa tahadhari kwa raia wa Uganda kuhusu tishio lililotolewa na kundi linadhaniwa kuwa ni la kigaidi, kulipua uwanja wa ndege leo usiku.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni