Jumanne, 29 Julai 2014

IBADA ZA KANISANI KUPITIA APPLICATION MPYA YA iPHONE

Ukrain wameamua kurahisishia watu kuabudu kwa muongozo ule ule unaotolewa na Padre kanisani, kupitia Application mpya ya iPHONE. Wadau wanasema kwamba waligundua kwamba vijana ni wavivu kuhudhuria ibada, kwamba interest yao kubwa wanapenda kukaa kwenye social networks, kwahiyo kupitia computer pia application hiyo itasaidia ibada kuendelea. Kupitia hii Application mtu anaweza kuuliza na hata kuomba msaada kwa padre na akapata majibu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni