Jumanne, 19 Agosti 2014

KESI MPYA INAYOMKABILI R. KELLY



R. Kelly anatajwa kuwa mtu asie na shukrani kwa mtu aliemtoa na kumfanya awe Star ni taarifa iliyoibuka kutoakana na kesi mpya inayomkabili super nyota huyo.

Derrel McDavid amedai kwamba alimsimamia R. Kelly kwa miaka mingi ni tangu akiwa hana lolote hadi kuwa super star, ishu ni kwamba mwaka jana mambo yalibadilika kati ya McDavid na Kelly ni tofauti zilizo sababisha kampuni yao kuvunjika.

Kwa mujibu wa kesi iliyoko mahakamani inadaiwa kwamba waliweka makubaliano kwamba Kelly atamlipa McDavid $1.3 milioni baada ya mfanikio waliyopata kisha kila mtu ashike 50zake.

McDavid anasema licha ya kwamba malipo ilikuwa iwe $40K kila mwezi kwa kipindi cha miezi 18 ajabu ni kwamba MdDavid amedai hajalipwa kitu bado.

Mtandao wa TMZ.com unaripoti kwamba Kelly ameshtakiwa kwa kutomaliza deni na kwamba MCDavid amemkazia kwasababu anamfahamu vizuri kelly, hasa masiaha yake binafsi na wanawake kwa kipindi kischopungua miaka 20.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni