Jumatatu, 25 Agosti 2014

ULE UCHUMBA NA PETE ALIYOVISHWA WASTARA!!!



Muigizaji nyota wa filamu za kibongo Wastara Juma Issa ‘Wastara’, hatimae ameamua kufunguka kuhusu undani wa maisha yake ya kimapenzi baada ya kuondokewa na mume wake kipenzi Marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’, mwaka mmoja na nusu uliopita.

Akizungumza kupitia Clouds Tv kipindi cha ‘Sporah Show’ Wastara anaeleza kwamba katika hali ya kibinadamu haikuwa jambo rahisi kukimbilia mahusiano mapya wakati bado alikuwa na majeraha makubwa ya kuondokewa na Mume wake kipenzi, Sajuki.


“Nimepata mchumba wa kiarabu na amesha nivalisha pete, ni hatua baada ya kipindi cha mwaka mmoja na nusu kuwa peke yangu, ni wakati muafaka sasa kuendelea na maisha mengine ya mahusiano”, Alisema Wastara.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni